Kwa wengi njiwa ni kitoweo na hufugwa kwa mapenzi si biashara. Lakini Deogratius Temba, kijana kutoka Dodoma, Tanzania amebadilisha dhana hiyo. Anafuga njiwa wa kipee. Hawa ni njiwa wanaojulikana kama ...
Je, unafahamu jinsi nyumba zinavyopambwa wakati wa sikukuu ya Krismasi? Katika mji wa Alaska Krismasi ipo mwaka mzima. Binti mmoja mwenye umri wa miaka 21 anasimulia maisha ya eneo alilokulia.
Umewahi kujiuliza kwa nini bangili za shanga zenye rangi za bendera za mataifa mbalimbali zinapendwa na watu wengi ndani na nje ya Afrika Mashariki? Ni mapambo ya kawaida, au kuna ujumbe unaobebwa ...
Msanii Mbali Mthethwa amefufua Sanaa ya utengenezaji mapambo kwa kutumia shanga. Anatumia ujuzi wa kitamaduni lakini unaofifia wa kutunga shanga kama msingi wa kutengeneza mapambo makubwa ya ukutani ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results